MWILI WA MAREHEMU WASABABISHA BARABARA YA MANDELA JIJINI DAR "KUFUNGWA" KWA MUDA







Tukio hili limetokea hii leo majira ya saa saba mchana eneo la Ubungo Darajani barabara ya mandela, ambapo umati wa watu waliofurika kwenda kumzika shehe, wamelazimika kufunga barabara kwa muda kadhaa ili 
kuupitisha mwili wa marehemu kwenda kuuzika.

haikufahamika mara moja wanakwenda kuuzika katika makaburi ya wapi lakini walikuwa wakipita kwa miguu barabarani wakipokezana kubeba jeneza lenye mwili wa marehemu hali iliyolazimu magari yote kusimama kuwapisha. 

Tazama picha zote hapo juu


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo