Pichani ni mzee Small akiwa na mtoto wake
kipenzi Mahamood usiku wa kuamkia jana.
Mtoto huyo anasema alimuaga
baada ya chakula cha usiku kwamba anakwenda kulala,ilipofika asubuhi ya
kuamkia jana hakuweza kuongea tena mpaka mauti yalipomfika majira ya
Saa4 usiku wa kuamkia leo.
(Picha na Awadh Ibrahim KwanzaJamii akiwa
nyumbani kwa marehemu)
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi