MAJONZI: MSANII WA NYIMBO ZA INJILI AFARIKI DUNIA HOSPITALI YA MUHIMBILI

Taarifa zilizotufikia katika Chumba cha Habari muda huu zinasema kwamba , Muimbaji wa Nyimbo za Injili Deborah John Said Amefariki Dunia katika Hospitali ya Muhimbili. Endelea kufuatilia hapa kwa taarifa zaidi. Tunatoa pole kwa wote waliopatwa na Msiba huu Mkubwa.
Amen


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo