KOMBE LA DUNIA: URENO CHALI, YAPIGWA 4-0 NA UJERUMANI, MULLER APIGA HAT-TRICK


Furaha ya ushindi: Wachezaji wa Ujerumani wakifurahia ushindi dhidi ya Ureno.
Ndoo: Pepe akimpiga kichwa Thomas Muller aliyekuwa chini.
Red card: Pepe akitolewa nje kwa kadi nyekundu.
Hat-trck: Thomas Muller akitupia bao la tatu na kuipa ushindi wa bao 4-0 Ujerumani dhidi ya Ureno.

UJERUMANI imetoa kipigo cha bao 4-0 kwa Ureno katika mechi ya kundi G ya Kombe la Dunia 2014 nchini Brazil. Mabao ya Ujerumani yamewekwa kimiani na Thomas Muller aliyefunga hat-trick na la nne likifungwa na Mats Hummels. Katika mechi hiyo, Pepe wa Ureno alizawadiwa kadi nyekundu baada ya kumpiga kichwa Muller.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo