Marehemu Mwalimu Solomon Ndandu (enzi za uhai wake) akichangia hoja katika kikao cha ufunguzi wa mradi wa shule salama ngazi ya wilaya katika Ukumbi wa halmashauri ya wilaya ya Makete 27/04/2012. Mwalimu Ndadu amefariki dunia jana 14.06.2014 wakati akipatiwa matibabu. hadi anafariki dunia alikuwa ni Katibu wa TSD wilaya ya Makete mkoani Njombe
Mtandao huu wa www.edwinmoshi.com unatoa pole kwa ndugu jamaa na marafiki wa marehemu katika kipindi hiki kigumu kwao, na zifuatazo hapa chini ni baadhi ya kauli za watu katika mtandao wa facebook kuhusu kifo cha Mzee Solomon Ndandu
- Ph Masanja rip mwl
- Oliver Motto Poleni sana jmn
- Henry Mwanyengo Kwaheli mzee wetu ndandu,walimu makete watakukumbuka sana,maana alikuwa tofauti sana na watu wengine tulio waona ofisi za TSD.RIP mwalimu umetutoka huku tukikuhitaji walimu na jamii kwa ujumla.
- Fadhili Andrew ASANTE SAN
- Amulike Mnyika Sanga Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina lake libarikiwe.Amen
- Fadhili Andrew AMEN
- Henry Mwanyengo Hatumuelezei mzee wetu ndandu kwa unafiki Kama ilivyo kawaida mtu akifa,ndandu he Is real deserving,watu wote nadhani makete wanamfaham alivyojihusisha na shughuli za kijamii.anyway ngoja niishia hapa.
- Fadhili Andrew TUJIFUNZE KUTOKA KWA MZEE WETU
- Amulike Mnyika Sanga Aisee inaniuma sana cause namfahamu sana mzee...pia alikuwa mzee wa kanisa
- Henry Mwanyengo Kabisa ule ndo uongozi inaotakiwa ktk jamii.walimu tulikuwa tukifika TSD,basi kama ulikuwa na dukuduku za kupanda madaraja,kwa ndandu umefika mimi ni mmojawapo niliepanda daraja la mshahara kwa jitihada za ndandu!ndandu mungu akupokee duniani hatuna dukuduku na wewe hasa kwa jamii ya makete ulituhudumia kwa moyo,kweli kazo uliipenda na tulihudumiwa vizuri.RIP mzee wetu ndandu mungu atakupokea.AMINa.
- Rebista Sanga R.I.P ndandu my teacher.....
- Daniel Kyando R.I.P







