Basi la kampuni ya City Boy lililokuwa linatoka jijini Dar es Salaam kwenda kahama mkoani Shinyanga limepata ajali kwa kumgonga mtembea kwa miguu, na kumjeruhi kiasi ambacho hsuhuda wa eddy blog aliyetutumia habari hii kuhisi kuwa mtu huyo alipoteza maishs papo hapo.
Kwa mujibu wa chanzo chetu ni kwamba ajali hiyo imetokea jana jumamosi Juni 7, 2014 katika kijiji cha Makomero wilaya ya Igunga mkoani Tabora.
Hakuna abiria aliyejeruhiwa wala kupoteza maisha kufuatia ajali hiyo. (Picha na Eddy Blog WhatsApp)

