skip to main |
skip to sidebar
WATU WANNE WAPOTEZA MAISHA KWENYE MLIPUKO WA BOMU MJINI NAIROBI
WATU wanne
wanadaiwa kupoteza maisha wakati wengine kadhaa wakijeruhiwa baada ya
milipuko miwili ya maguruneti kutokea eneo la Gikomba mjini Nairobi,
Kenya.
Mlipuko wa kwanza umetokea katika basi la abiria 'matatu' wakati
wa pili ukitokea katika soko la Gikomba.
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi