Wanafunzi
wa elimu ya awali, wakifundishwa na mwalimu Juliana Joseph huku wakiwa
wamekaa sakafuni na juu ya paa kukiwa wazi katika moja ya vyumba vya
madarasa ya Shule ya Msingi, Unyaghumpi vilivyozuiliwa kujengwa na
Mbunge Tundu Lissu kwa kuwakataza wananchi kuchangia fedha na kuwaambia
kuwa fedha zote zitatoka serikalini.
HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMANNE JULAI 28, 2026
8 hours ago

