TAARIFA ZAIDI YA KIFO CHA MWANAMUZIKI AMINA NGALUMA

Amina Ngaluma ni miongoni mwa waimbaji ambao waliipa umaarufu bendi ya African Revolution ‘Tam tam’ kupitia wimbo wa Mgumba na baadae kujiunga na bendi ya Double M Sound,kupitia ukurasa wa Amina Ngaluma wa Facebook watu mbalimbali wameandika salaam za msiba huu.
ngaluma
Chanzo cha kifo bado hakijafahamika ingawa wamesema kuwa walimuuguza kwa siku kadhaa kabla ya umauti kumfika,


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo