PICHA: ASKARI WAYAFANYIA "UMAFIA" MALORI YANAYOEGESHWA KIENYEJI BARABARA YA MANDELA JIJINI DAR

Kutokana na malori mengi kuegeshwa kwenye barabara ya Mandela eneo la relini karibu na Mwananchi kinyume cha sheria, askari wa usalama barabarani wamelazimika kung'oa namba za usajili za malori hayo na kuondoka nazo, kama lori hili linavyoonekana bila namba (Picha na mwandishi wa ITV)


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo