Muziki
wa dansi Tanzania Mei 15 ulipata msiba ambao umekua ni pigo kwao na
Tanzania kwa ujumla,ni msiba wa Amina Ngaluma ‘Japanese’ ambae amefanya
kazi kwenye bendi tofauti tofauti hapa Tanzania ikiwemo African
Revolution ‘Tam Tam’ pamoja na Double M Sound.
Taratibu za mazishi kwa mujibu wa mume wa Marehemu Amina Ngaluma Mr
Rashid Sumuni amesema wanasubiri mwili wa marehemu ufike na unategemewa
kuingia wiki ijayo kutoka Thailand alipokua akifanyia kazi.
Taratibu za mazishi Sumuni amesema kuwa mwili utazikwa maeneo ya huko huko Kitunda Machimbo,millardayo.com imefika hadi nyumbani kwa marehemu ulipo msiba huu ,hizi ni baadhi ya picha za nyumbani kwa marehemu.
Nyumbani kwa Amina Ngaluma sehemu ulipo pia msiba huu.
Baadhi ya waombolezaji
Baba mzazi wa Marehemu Amina Ngaluma ‘Japanese’
Mume wa Amina Ngaluma Mr.Rashid Sumuni.
>>>>>millardayo.com
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi