MAMA AWAPA WATOTO WAKE ZAWADI YA KONDOMU ILI WAFANYE NGONO SALAMA

Lakini, mama mmoja mjini Nairobi anaona zawadi kubwa inayowafaa watoto wake na hata wale wa jirani zake ni mipira ya Kondom.

Mwandishi wetu Seif Abdallah alikutana na mama huyo anayesema kuwa anawakinga vijana wake kutokana na maambukizi ya HIV mjini Nairobi.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo