skip to main |
skip to sidebar
HII NI KAULI YA DIAMOND PLATNUMZ BAADA YA KUSHINDA TUZO 7 ZA KILI
Hakika
ilikuwa ni kazi ngumu sana lakini kwa uwezo wa mwenyez mungu
ametufanyia wepesi na hatimaye kufanikisha... Nawashkuru sanasana
Mashabiki zangu wote kwakuwa nyie ndio mlionipa tuzo hizi kupitia kura zenu... Family, uongozi wangu.. bila kuvisahau vyombo vyote vya habari vilivyo fanya kazi zangu zisikike kila kona..Niwashkuru
pia wasanii wenzangu, kwakuwa naamini wote walifanya kazi nzuri na
ndiomaana wote tukawa pale ila kwakuwa mshindi ni mmoja, ikatokea kuwa
bahati yangu.
..Ahsanteni sana, cha mwisho nnachoweza
kusema tu ni kwamba (Tika! Tika!) yaani (Saba saba) Nomination 7 Tunzo
7...! tuhamieni MTV Awards tuilete Heshima nyumbani sasa
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi