BODI YA WAKURUGENZI MUWSA WATEMBELEA VYANZO VYA MAJI HIMO NA MOSHI

Wajumbe wa bodi wakiongozwa na mwenyekiti wao Shally Raymond (shoto)wakushuka vilima na kuluka vijito hatimaye wakafika mto Ghona katika mji mdogo wa Himo ambako kuna chemichemi ya maji inayotumika kwa ajili ya wakazi wa eneo hilo la himo.
Wajumbe wa Bodi waiangalia Chemichemi hiyo huku wakipata maelezo toka kwa mkurugenzi wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi,Mhandisi Cyprian Luhemeja.
Makamu mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi,Profesa Faustine Bee akiwa juu ya Bomba  kwa lengo la kutizama kwa ukaribu  Chemichemi hiyo .
Wajumbe wakitizama Chemichemi.
Meneja rasilimali watu wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi,Michael Konyaki akitoa maelezo kwa mmoja wa wajumbe wa Bodi ya wakurugenzi wa mamlaka hiyo Hajira Mmambe.Wengine ni Meneja ufundi,Kibasa(shati nyeupe)meneja biashara John Ndetiko(mwenye suti)na meneja Biashara kituo cha Himo ,Sanagawe(shati ya Bluu)
Wajumbe wakiendelea kupatiwa maelezo. BONYEZA HAPA UONE PICHA NYINGI ZAIDI 


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo