Kwa mujibu wa taarifa zilizoifikia BLOG HII
ni kwamba basi la abiria la WIBONELA EXPRESS lililokuwa linatoka jijini
Dar es salaam kwenda wilayani Kahama mkoani Shinyanga limepinduka jioni
hii huko Mkoani Singida.
Taarifa zinasema hakuna mtu aliyepoteza maisha wala kujeruhiwa vibaya katika ajali hiyo.
VIA farajimfinanga.com
