UBOVU
wa barabara kutokana na mvua umezidi kuleta adha kwa usafiri wa magari
jijini Dar es Salaam.
Leo kamera yetu ilitembelea kitongoji cha Mbagala
na kukuta basi la Usafiri Dar es Salaam (UDA) likiwa limekwama katika
shimo na kuwasababishia abiria matatizo.
(PICHA NA HAMIDA HASSAN / GPL)
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube