PICHA: JINSI KATIBU WA CHADEMA JIMBO LA MUFINDI KUSNI ALIVYOHAMIA CCM




Katibu wa Chadema Jimbo la Mufindi Kusini, Emannuel Ngwalanje akikabidhi vitendea kazi vyake na kadi ya Uanachama wa CHADEMA kwa katibu wa CCM wilaya ya Mufindi Miraji Mtaturu (kushoto ) baada ya kukihama chama hicho na kujiunga na CCM


Aliyekuwa Katibu wa CHADEMA Jimbo la Mufindi Kusini, Emannuel Ngwalanje akipewa vitendea kazi vya CCM na kadi ya Uanachama baada ya kujiunga na chama chenye umoja na mshikamano, CCM.
Emmanuel Ngwalanje akitoa yake yaliyokuwa moyoni kwa wananchi kabla ya kujiunga na CCM.Kwa hisani ya Habarileo.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo