NEY WA MITEGO" VIDEO YA KUVALISHWA PETE SIWEMA NI YA MIAKA MIWILI ILIYOPITA"

Siku ya leo Ney wa Mitego Amesikika Radio Clouds akiongelea ile habari iliyomake headlines week hii ya Mchumba wake kuonekana kwenye Video akivalishwa Pete na Jamaa....

Ney Amesema kuwa hiyo Video ni ya Miaka Miwili iliyopita wakati huo hakuwa na Siwema na Kabla hajakuwa na Siwema Bi Dada huyo Alimwambia kwahiyo si kitu kigeni kwake..Yeye anachojua ni kwamba sasa hivi Siwema ni Wake, huyo aliyeonekana anamvalisha Pete yalishaisha siku nyingi......

So Jamaa Embu Acheni Kupanic Basi....


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo