KUSEMA KWELI NIKILALA NA MWANAUME ASIYE HELA SITOSHEKI, NISHAURINI CHAKUFANYA

Boy friend wangu yupo masomoni mwaka mzima,nilipozidiwa nkaanza tabia ya kutoka njee na bosi wa clearing and freight foward then kitabia cha kutoka na wenye hela kikashika kasi tena sana hapa nilipo najihisi kutokuwa normal manake ili nijisikie raha na kutosheka I must get booked, travel at least 30 km and in isolated premise, huko nkifanya nafika hata mara tatu for single night mpenzi wangu karudi ila hanifikishi tena, nampenda ila sjui nifanyeje manake tatizo ni pesa na siyo calories.

Naomba ushauri wako....!!!!


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo