HABARI PICHA: MWANAFUNZI WA UDSM ALIYEFARIKI KWA AJALI UBUNGO JANA..!

R . I . P Neema Mwakajwanga.
Alifariki kwa ajali jana saa 1 jioni maeneo ya Ubungo. Alikua ni mwanafunzi wa mwaka wa mwisho UDSM , na ni mzaliwa wa mkoani Mbeya.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo