FAHAMU JINSI YA KUMPIGIA KURA MWAKILISHI WA MAISHA PLUS MKOA WA NJOMBE



 Ellymathew Kika ni mwakilishi wa  shindano la maisha plus  kutoka mkoa wa njombe  ambaye pia ni mtangazaji wa kituo cha Uplands Fm kilichopo mkoani Njombe  kama ni mdau au umewiwa na kuhakikisha kijana wetu kutoka mkoa wa Njombe anajinyakulia ushindi 

....andika MP unaacha nafasi unaandika 08 Kisha tuma kwenda namba +255 689 666 662


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo