BATULI AKUBALI KUIGIZA NUSU UTUPU KWENYE MUVI



Mwanadada  mkali wa Bongo Movies, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ amefunguka kuwa kwa sasa yupo tayari kuigiza nusu uchi  kwa sinema za nje ya nchi.

Akiongea nasi juzi kati, Batuli alisema kuwa muvi nyingi Bongo huwa zinafungiwa kwa kukosa maadili na kwamba kama ikitokea nafasi akaitwa nje ya nchi kuigiza sini hizo, atakuwa tayari.
 
“Zamani nilikuwa nikiogopa kuigiza nusu uchi. Wenzetu Nigeria wameendelea na ndiyo maana wanaigiza hata nusu uchi, kama itatokea nafasi ya kuigiza huko (nje ya Bongo) nusu uchi, nipo tayari,” alisema Batuli.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo