RECHO KIZUNGUZUNGU AAMUA KUANIKA TATOO YAKE MTANDAONI, ICHEKI HAPA

clip_image002[20]Msanii wa Miondoko ya Bongo fleva ajulikanaye kwajina la Recho naye  leo hii kupitia ukurasa wake wa Instagram ameweka wazi Tatoo zake  alizozichora mwilini mwake.
Waweza Jionea mwenyewe hapa chini:clip_image002
clip_image002[7]Aliweza kumtambulisha Mchoraji wa Tatoo hizo kwa kuweka Picha yake pia katuka Ukurasa huo so kama nawewe wapenda waweza Mfollow na kuweza Kuchorwa..clip_image002[9]clip_image002


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo