Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akizungumza na wananchi kwenye
mradi wa ujenzi wa tanki la maji katika eneo la Tabata Kimanga, akiwa
katika ziara ya siku moja katika wilaya ya Ilala, Dar es Salaam, kukagua
utekelezaji wa ilani ya CCM. Kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam,
Saidi Mecky Sadik
Kinana akipanda juu kukagua ujenzi wa tanki hilo la maji ambalo lina uwezo wa lita 200,000
Kinana akishuka baada ya kukagua tanki hilo litakalohudumia wakazi wa Tabata,zaidi ya Elfu 20 Tabata Kisiwani na Tabata Kimanga
Kinana na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabiba wakishuka baada ya kinana kukagua tankii hilo
Kinana akikagua soko la Tabata Kisiwani wakati wa ziara hiyo
Bango la kumkaribisha Kinana alipotembelea viwanja vya Kidongo Chekundu,
Ilala kuona mradi wa viwanja vya michezo kwenye eneo hilo.
Kinana akisalimiana na wananchi alipowasili viwanja vya Kidongo Chekundu wilayani Ilala
Mbune wa Ilala Mussa Zungu akizungumzia mradi wa ujenzi wa viwanja vya michezo kwenye eneo la Kidongo chekundu, wilayani Ilala
Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa, akizungumzia mradi huo mbele ya Kinana.
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akimpongeza Silaa baada ya
kuzungumzia mradi wa ujenzi wa viwanja vya michezo Kidongochekundu.
HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO IJUMAA JULAI 18,2025
3 hours ago