
Tukio hili la mauwaji limetokea jana usiku maeneo ya Sanya KIA mkoani Kilimanjaro mkabala na uwanja wa ndege wa Kilimanjaro International Airpot KIA.
Kijana huyu aliyetajwa kuwa ni Dereva Pikipiki (Bodaboda) alikutwa amekufa huku akiwa na majereha ya mapanga usoni,
Kijana huyu muendesha Bodaboda mkazi wa Kikatiti amekutwa na
Vitambulisho mfukoni vyenye kumtambulisha majina yake Pendaely Nasary inasadikika alinyang'anywa Pikipiki.
Written By Masai Nyotambofu
Imeripotiwa na DJ TINDO kutoka KIA. NA INASADIKIKA
Polisi wa kituo cha Polisi cha Boma Ng'ombe wakipakia Mwili wa kijana huyo kwenye Gari.

Baadhi ya mashuhuda wakiwa katika Eneo la tukio


