Majina ya waalimu wapya yametoka kwa mwaka 2013/2014,walimu wote
wapya wanatakiwa kuripoti bila kukosa kwenye Halmashauri walikopangiwa
ifikapo tarehe 01 Aprili 2014 ili waanze kazi mara moja.
Angalizo ni kwamba majina haya yamewekwa kwa mfumo wa PDF, hivyo baadhi ya simu chache sana zinaweza kukuonesha majina haya baada ya kuyapakua(kudownload) hivyo tunakushauri udownload kwa kutumia kompyuta ili uweze kuyaona
