MVUA ZASABABISHA KERO KUBWA KWA WANANCHI TABATA JIJINI DAR

Picha mbalimbali zikionesha namna baadhi ya mitaa ilivyo jaa maji na njia za mitaa kufunikwa kabisa na maji ya mvua kubwa iliyonyesha usiku wa kuamkia leo jijini Dar es Salaam.

MVUA kubwa ilionyesha usiku wa kuamkia leo zilifunga baadhi ya mitaa kwa kujaa maji jambo ambalo lilileta hofu kwa wananchi na baadhi kuamka na kuangalia usalama wao endapo mvua hizo zitaleta maafa. Mvua hizo zilifunga baadhi ya mitaa eneo la Tabata Bima na kuleta maafa kwa maji kuingia baadhi ya nyumba eneo la Bonde la Mto Msimbazi. Mwandishi wa Thehabari.com alishuhudia baadhi ya mitaa ikiwa umejaa maji na njia kufunikwa kabisa na maji huku baadhi ya wananchi wakiamka usingizini kuangalia usalama wao.

Maji yaliingia kwenye baadhi ya nyumba za watu wa bonde la Msimbazi jambo ambalo liliwalazimu wakazi hao kuanza kutoa baadhi ya vyombo nje ili visisombwe na maji ya mvua yaliyokuwa yakivamia kwenye nyumba zao. Chini ni picha mbalimbali zikionesha namna baadhi ya mitaa ilivyo jaa maji na njia za mitaa kufunikwa kabisa.


Picha mbalimbali zikionesha namna baadhi ya mitaa ilivyo jaa maji na njia za mitaa kufunikwa kabisa na maji ya mvua kubwa iliyonyesha usiku wa kuamkia leo jijini Dar es Salaam.Picha mbalimbali zikionesha namna baadhi ya mitaa ilivyo jaa maji na njia za mitaa kufunikwa kabisa na maji ya mvua kubwa iliyonyesha usiku wa kuamkia leo jijini Dar es Salaam.
Picha mbalimbali zikionesha namna baadhi ya mitaa ilivyo jaa maji na njia za mitaa kufunikwa kabisa na maji ya mvua kubwa iliyonyesha usiku wa kuamkia leo jijini Dar es Salaam.
Picha mbalimbali zikionesha namna baadhi ya mitaa ilivyo jaa maji na njia za mitaa kufunikwa kabisa na maji ya mvua kubwa iliyonyesha usiku wa kuamkia leo jijini Dar es Salaam.
 Mwandishi wa Thehabari.com


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo