MALORI YAZIDI KUKWAMA WILAYANI MAKETE, KISA BARABARA




Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha wilayani Makete mkoani Njombe, barabara nyingine zimekuwa mwiba kwa watumiaji wa barabara hizo, baada ya kamera ya eddy blog kunasa lori aina ya fuso likiwa limenasa kwenye tope kijiji cha Ujuni wilayani hapo

Lori hili lililobeba viazi limenasa hapo kutokana na barabara hiyo kuharibika kufuatia mvua zinazonyesha wilayani hapo kuharibu barabara

Habari/picha na Eddy Blog Team


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo