skip to main |
skip to sidebar
HUYU NDIO BINADAMU WA KWANZA KUFIKISHA FOLLOWERS MIL 50 KWENYE MTANDAO WA TWITTER
Mwanamuziki Ajulikanae kama Katy Perry amekuwa mtu wa kwanza kufikisha followers Milion 50 kwenye mtandao wa Twiiter ...
Anae
fuata kwa nyuma ni Justiner Birber ambae ana followers Mil 49 na wa
Tatu ni Raisi wa Marekani Amabe ana followers Mil 41....
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi