Wakati idadi kubwa ya watanzania wakikumbwa na tatizo la ukosefu wa ubunifu, kijana huyu ambaye anafanya biashara ya kuchoma mahindi mabichi wilayani Makete mkoani Njombe ameonesha ubunifu wa kutengeneza jiko ambalo analitumia kwa kuchoma mahindi.
Yeye amechukua karai la bati kisha kuliweka kwenye stuli, tayari mambo yanajipa, anaingiza mijihela kibao wakati wengine wakiwaza watatoa wapi fedha za kununua jiko ili wafanye biashara hii
Hongera sana mdau
