UPDATES: POLISI WAWATAWANYA WAFUASI WA ZITTO KABWE MAHAKAMA KUU LEO

Jeshi la Polisi lawatawanya wafuasi wa Zitto Kabwe na wafuasi watiifu wa chama cha CHADEMA, waliotaka kupigana baada ya Mahakama Kuu kuhairisha kutoa maamuzi ya kesi iliyofunguliwa na Zitto dhidi ya chama chake.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo