PICHA TANO ZIKIONESHA HALI ILIVYO MAHAKAMA KUU SASA HIVI KUHUSIANA NA PINGAMIZI LA ZITTO

DSC_0583 
Kesi inayomhusu Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe na Chadema leo inatarajiwa kuendelea baada ya kuahirishwa Ijumaa iliyopita ambapo ilitangazwa kuendelea leo saa nne lakini mpaka sasa saa tano bado haijaanza.

Hizi ni baadhi ya picha za hali ilivyo nje ya Mahakama kuu kanda ya Dar es salaam kuanzia kwenye ulinzi mpaka kwa wafuasi ambapo hata hivyo taarifa zilizotoka sasa hivi zinasema kesi hii imeahirishwa mpaka kesho Jan 7 2014 saa nane mchana.
DSC_0563
DSC_0549DSC_0564
Picha kwa hisani ya millardayo.com


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo