MWENYEKITI WA CCM GEITA AGOMA KUMUOMBA MSAMAHA MSINDAI

Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Geita amesema hatomwomba radhi mh. Msindai na ametaka aache kuvuruga chama kwa kutofuata utaratibu wa chama ktk kuamua mambo yake hatakama yeye ni wa siku nyingi ktk chama.

Source: ITV


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo