MAWASILIANO YA BARABARA YA MAKETE-BULONGWA-MBEYA HATARINI KUKATIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA

Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha wilayani Makete mkoani Njombe tayari zimeanza ambapo sehemu hii ni jirani na daraja la Ilolo barabara ya Makete-bulongwa-Mbeya ikiwa inamomonyoka hali inayosababisha hatari kwa watumiaji wa barabara hiyo.Picha na mpiga picha wetu eddy blog.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo