MKUU WA WILAYA AFARIKI DUNIA

Tunasikitika kutangaza kifo cha Ndg. Deus Mtambalike kilichotokea tarehe 15/01/2014 katika hospitali ya Milpark nchini Afrika ya Kusini.

Katika uhai wake marehemu aliwahi kuwa Mkuu was wilaya katika sehemu mbali mbali nchini zikiwamo Ngara, Igunga, Tunduru, Ludewa na Muleba. 

Mazishi yanatarajiwa kufanyika siku ya jumapili 19/01/2014 Nyumbani kwa marehemu  Kimara Bonyokwa jijini Dar es salaam  majira ya saa sita mchana Bwana alitoa Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe 

Amina.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo