AIBU: BARABARA MPYA MABASI YAENDAYO KASI JIJINI DAR ES SALAAM ZAGEUKA MADAMPO YA TAKATAKA

Hii ni Barabara Mpya kabisa ya Magari yaendayo kwa kasi Jijini Dar es salaam ambapo sasa Baadhi ya maeneo yamegeuka Madampo ya kutupia takataka kama inavyo onekana pichani.
 
 Huu ni Uchafu
 Hakuna anaeijali barabara hii kila kona uchafu
 Takataka zinatupwa hovyo hovyo

Swali ni Je Jiji mnaliona hili mnafumbia macho au hamuoni? 

Picha na Dar es salaam yetu


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo