Hatimae imefikia idadi ya 200,000, (laki mbili)
Kila mtu ambae yupo kwenye hii page
anastahili kupata hii nafasi ila sababu watu laki 2 hatuwezi kwenda
dinner wote kwa pamoja naomba nitaje wachache waliobahatika,
watawawakilisha na wengine.
Nimeona badala ya watu kumi niongeze wengine wanne wamekuwa 14...(Bonus) Nashukuru kwa kuendelea ku like page yangu. 1. GENI GENI 2. OBADIA USWEGE 3. MARTIN WAFUALA 4. FRANK NYABILI 5. POPE RAY MBISHI 6. MSAFIRI MSAMI 7. EDWIN EMMANUEL 8. QUADRAH CHARITY 9. ALVEEH CHELSEA BLAQ 10. HASHYME MDETY 11. PATRICK KAPUS KASIRIM 12. STANLEY MCHOME 13. PROSPER DAUD 14. FJ JUMA
Mta inbox namba zenu za simu, ili muweze kupatiwa utaratibu wa jinsi gani mialoko itawafikia... Hongereni na tutaonana Valentines Day