IGP MANGU NA NAIBU WAKE WAJITAMBULISHA KWA KATIBU MKUU MAMBO YA NDANI

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh67Q_PceTWOTIZtArQ4R3lGniD22nCp_YZyPKwdFANduMwygbKEMHW-MRMz3K-K7W_WdkroQX1i5aoAGWr-vIypluNDa0HnYVOkffvDLZoYCCmeZuBSSlNQf-YjRwjiMIaERNn6grFtJE/s1600/1.JPGKatibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya ndani ya Nchi Mh. Mbarak Abdulwakil akisalimiana na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Mangu wakati IGP alipokwenda kujitambulisha ofisini kwake kwa lengo la kufahamiana na kupanga mikakati mbalimbali ya kuzuia na kupambana na uhalifu.Katikati ni Naibu katibu mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani Bi. Mwamini Malemi (Picha na Frank Geofray-Jeshi la Polisi)
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjfVIurQOIgGl6a3_a32aZ7Ft6qpGmhe70-tun1XQXHiw4v3GzgTV8OBSCdgqc2Y2pTBEqHkLvqwcMAd2USXwFmIYm8iIhxtLC8NtsMbKpIGrVI9a48Knil8GNhiQkY5JRHHf87C_3dVZI/s1600/2.JPG Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya ndani ya Nchi Mh. Mbarak Abdulwakil akisalimiana
Naibu Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (DIGP) Abdulrahman Kaniki (kulia) na Mkuu
wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Mangu akisalimiana na  Naibu katibu mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani Bi. Mwamini Malemi wakati IGP alipokwenda kujitambulisha ofisini kwake kwa
lengo la kufahamiana na kupanga mikakati mbalimbali ya kuzuia na kupambana na
uhalifu. 
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgVZMBrspv2i7SODan8bWbnsq3WD4cvqiGpZmbS8ZzYn4bXmHOSLiC51hil8jVK6FfloT4eaebI4KHU16Kv7zRgEihipbtcRPOQJTOuIzlklhyOj5MIToT5B97JGJqLF7i5-DXff7cUS5g/s1600/3.JPGKatibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya ndani ya Nchi Mh. Mbarak Abdulwakil akizungumza  na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Mangu  na Naibu IGP Abdulrahman Kaniki wakati Viongozi hao wa Jeshi la Polisi walipokwenda kujitambulisha ofisini kwake kwa lengo la kufahamiana na kupanga mikakati mbalimbali ya kuzuia na kupambana na uhalifu.Katikati ni Naibu katibu mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani Bi. Mwamini
Malemi .
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiQ13qPFOxWpRPE9Km2nRO82AyLYgbOncm67rTcYAHFzq6lKuUM-uhcOA9-bNNBH5zvMDByi0lBPnn7SQ_bGB04s5-mgwZESB4dxbkvaU9PdwN7Tgk2y_2IIqexOimc55wckzRvV1zLgBw/s1600/4.JPG
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya ndani ya Nchi Mh. Mbarak Abdulwakil akisalimiana na
Naibu Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini DIGP Abdulrahman Kaniki  wakati alipokwenda kujitambulisha ofisini kwake kwa lengo la kufahamiana na kupanga mikakati mbalimbali ya kuzuia na kupambana na uhalifu.DIGP.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo