WAZIRI MKUU PINDA AMSHANGAA ZITTO KABWE KUSEMA ANALIPWA MILIONI 20 KWA MWEZI


Waziri Mkuu amedai bungeni Asubuhi ya leo kwamba mshahara wake hauzidi Tsh. 6 milioni na akadai wanaodai analipwa zaidi ya hapo ni uzushi mkubwa kiasi kwamba yeye ni mkopaji tu katika mabenki na kuwa mshahara huo ni pamoja na mapato ya mkewe.

Amesema hayo kufuatia Mbunge wa kigoma kaskazini mh Zitto Kabwe kutamka kuwa mshahara wa waziri mkuu ni milioni 20 jambo ambalo waziri mkuu amesema si la kweli


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo