Mahakama Kuu ya Zanzibar imemuachia kwa dhamana ndugu Omar Musa Makame
baada ya wadhamini wawili kujitokeza na kumuwekea dhamana ya Shilingi
laki 5 kwa kila mmoja.
Dhamana hiyo imekubaliwa na Mahakama, na ndugu Makame yupo nje,hali hii imemfanya Ndugu Makame kuungana na familia,ndugu,jamaa na marafiki ktk kipindi hiki cha mwisho wa mwaka.
Baadhi na jamaa na ndugu wameonekana kububujikwa na machozi na kuamini ipo siku haki itatendeka na ndugu yao kuwa huru,kwani wanaamini kesi hiyo ”alipewa“ kutokana na misimamo yake ya kisiasa na si kwamba alitenda.
Source: Mimi JAMII FORUM nikiwa Zenji
Dhamana hiyo imekubaliwa na Mahakama, na ndugu Makame yupo nje,hali hii imemfanya Ndugu Makame kuungana na familia,ndugu,jamaa na marafiki ktk kipindi hiki cha mwisho wa mwaka.
Baadhi na jamaa na ndugu wameonekana kububujikwa na machozi na kuamini ipo siku haki itatendeka na ndugu yao kuwa huru,kwani wanaamini kesi hiyo ”alipewa“ kutokana na misimamo yake ya kisiasa na si kwamba alitenda.
Source: Mimi JAMII FORUM nikiwa Zenji
