WAISLAMU WAANDAMANA JIJINI DAR LEO....WAPINGA MAUAJI YA MWENZAO..TAZAMA HAPA

Maandamano yalipofika Kigogo Mbuyuni.

Waandamanaji wakiwa na picha ya mmoja wa viongozi wao.

Gari la matangazo.
Msafara wa kinamama.
 
Waumini wa dini ya kiislamu leo waliandamana kwenye kona mbalimbali za jijini la Dar es Salaam kulaani mauaji ya kionevu aliyofanyiwa mwenzo, Himam Hussein nchini Iraq.

                          ( PICHA : RICHARD BUKOS / GPL )


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo