skip to main |
skip to sidebar
MTANZANIA AVAMIWA NA KUUMIZWA VIBAYA HUKO NAIROBI KENYA, YUPO HOI BIN TAABAN HOSPITALINI
HUYU NI MTANZANIA ALIYEVAMIWA HAPA NAIROBI NA KUUMIZWA VIBAYA HAPO JANA
NA AMEJITAMBURISHA KWA POLICE WALIOMUOKOTA KAMA DR.JUMA MALIKI.
TUNAPENDA KUWAOMBA YEYOTE ANAYEMFAHAMU AWASILIANE NA NA NDUGU ZAKE
MAANA ANA HALI MABAYA NA HAKUNA ALIYEJITOKEZA KUMJUA.
AMELAZWA HAPA
KENYATTA NATIONAL HOSPITAL.NA HAKUNA TAARIFA ZAIDI YA HIZI.(na kwa sasa
hawezi kuongea)
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi