skip to main |
skip to sidebar
LADY JAY DEE AMJIBU MH. JANUARY MAKAMBA
 |
| Lady Jaydee |
Lady Jaydee kweli ni Anaconda na sio mtu wa kuchezea kwani ukiingia
kichwa kichwa kwenye kumi na nane zake anakumeza na kukupaka live kama
huna hoja ya msingi. Hayo yamempata Mbunge wa Bumbuli January Makamba.
Angalia alichoandika Makamba hapo chini na jibu la Lady Jaydee ambaye ni
mwanamuziki mwenye jina kubwa Afrika mashariki.
January Makamba
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi