Watu 5
wamefariki dunia papo hapo na wengine 14 wamejeruhiwa vibaya baada ya
basi la Zamoyoni kugongana uso kwa uso na gari dogo la abiria katika
kijiji cha Mandela wilayani Korogwe mkoani Tanga.
BASI LA ZAMOYONI LAPATA AJALI TANGA, WATANO WAFARIKI PAPO HAPO 14 WAJERUHIWA!
By
Edmo Online
at
Sunday, November 24, 2013
