MAELFU YA WATU WAFURIKA MKUTANO WA KINANA TUNDUMA

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhs0sY9IpWFjFsYC7jXEHE4e2bypL-4NuuY_8pgY8Y3hjz-n30IWwiLJAf1SXqoll8mCJWvcW0A91fkFeB2YjPFcHGQrPCM1Q1VKMGdEAcbZ5e96rsqW5J_evkYY23pmG3OiUYt5dRGX6MN/s1600/1b.+Kinana+akihutubia+maelfu+ya+watu+Tunduma.jpgKatibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akihutumia maelfu ya wananchi katika Uwanja wa Shule ya Maingi Mwaka, mjini Tunduma, jioni hii, Nov 28,2013, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM, kusikiliza kero za wananchi na kuzungumza nao njia ya kuzitatua, katika mkoa wa Mbeya. (Picha na Bashir Nkoromo).
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEikG8ezM5gTovtlnHStE_D-cIgR5kdGITWgCQi3Q6gPeYPmEXZPfUo8EkS-3mZ6Dv7UpSE4gSLG-TaL5bosaiTsvKr2obPUT8jOsfQi7-m40w-HOmn0VDFla_DUOFcxMJ7FUIEVIKlXDAEM/s1600/1.+Kinana+ahutubia+maelfu+Tunduma.jpg


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo