Ajali imetokea Barabara ya Morogoro eneo la Kimara Stop Over jijini Dar wakati bodaboda hiyo ilipokuwa ikitokea Mbezi kuelekea mjini kugongwa na gari hiyo ilitokea upande huo kukunja kona upande kushoto wa ghafla na kuwazoa majeruhi hao.
( PICHA : RICHARD BUKOS / GPL )