MAKAMU WA RAIS DK BILAL AIFANYA IRINGA KUWA NYEUPEEEEE

Magari yote mjini Iringa yapo "chimbo" kufuatia kuwasili kwa msafara wa makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dk Mohamed Gharib Bilal unaotoka mkoani Njombe kwenda Iringa. Makamu wa rais alikuwepo Njombe tangu jana kushiriki mazishi ya askofu mstaafu wa RC Njombe

PICHA NA MDAU FRANCIS GODWIN


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo