GARI LA MADAM RITHA LATEKETEA KWA MOTO LIKIWA BARABARANI

 Gari la Madam Rita, Mercedes Benz lateketea kwa moto likiwa barabarani
Gari aina ya Mercedes Benz la Rita Paulsen aka Madam Rita limeteketea kwa moto likiwa barabarani Jumamosi iliyopita, Oct 26.

Hata hivyo kwenye gari hilo lililozimika barabarani na kuanza kuwaka moto, hakuwemo Madam Rita bali dereva wake, Julius Kanwakaita.

Chanzo kilichopelekea gari hilo kuwaka moto hakijafahamika mara moja.

August 21 mwaka jana, ofisi za kampuni yake ya Benchmark Productions zilizopo Mbezi Beach ziliteketea pia kwa moto


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo