WAZIRI MAGUFULI AZINDUA MAADHIMISHO YA SIKU YA WAHANDISI DUNIANI JIJINI DAR ES SALAAM


Baadhi ya Wahandisi waliohudhuria hafla ya maadhimisho ya siku ya Wahandisi 2013 leo jijini Dar es Salaam  wakifuatilia hotuba ya mgeni rasmi Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli (hayupo pichani.)


Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli (kulia) akizindua rasmi kiapo cha utii kwa Wahandisi Wataalamu leo jijini Dar es Salaam kilichofanyika katika hafla ya maadhimisho ya Siku  ya Wahandisi 2013. Picha kushoto ni Msajili wa  Bodi ya Usajili wa Wahandisi nchini Mhandisi Steven Mlote, (katikati) ni Hakimu Mkazi wa  Mahakama ya Kisutu Wariyaruandwe Lema.



Hakimu Mkazi wa Mahakama ya  Kisutu Wariyaruandwe Lema(kulia) akiwaapisha Wahandisi mbalimbali kutoka  taasisi na mashirika ya kihandisi,leo jijini Dar es Salaam katika maadhimisho ya siku ya wahandisi 2013 leo jijini Dar es Salaam

Baadhi ya wahandisi wakila kiapo cha utii leo jijini Dar es Salaam.


Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli (kulia) akimkabidhi  cheti pamoja na luptop Anna Msigwa mmoja ya mhandisi mhitimu aliefanya vizuri zaidi katika mtihani  wa mwisho wa mwaka 2012/ 2013,  (Pichani  mwenye kipaza sauti) Ni Msajili wa Bodi ya Wasajili Mhandisis Steven Mlote.


Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli (kulia) akimpatia cheti  Mhandisi mhitimu Nora Abdalla kati ya aliefanya vizuri zaidi katika mitimani yao ya mwaka wa mwisho2012/2013. (katikati)Masjili wa Bodi ya Wahandisi Mhandisi Steven Mlote.



Katibu Mkuu mstaafu wa Wizara ya Ujenzi Balozi Hebert Mrango (aliesimama) akiongea leo katika hafla hiyo ya siku ya wahandisi 2013 , ambapo amechukua nafasi ya kuwashukuru wahandisi wote kwa ushirikiano wao wakati akiwa mtumishi wa wizara ya Ujenzi, Jumuiya ya Wahandisi Tanzania inaadhimisha siku ya Wahandisi kwa mara ya kumi na moja toka kuzinduliwa siku ya Wahandisi nchini tarehe 13 Januari,2013 na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa wakati huo
(Picha zote na Mwanakombo Jumaa)


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo