NEWS ALERT: MH SUGU AFUNGULIWA MASHTAKA NA ASKARI WA BUNGE

 
Taarifa za uhakika ni kuwa kuna Askari mmoja ambaye ni miongoni mwa walinzi wa Bunge ameenda kufungua faili Polisi Dodoma na kusema kuwa ametishiwa kupigwa na Mbunge Sugu, 

baada ya kufungua JALADA hilo polisi wamechukua Diffender 6 na wameingia mitaani kumtafuta ili aweke ndani mpaka kesho ndio afikishwe mahakamani asubuhi.

Lengo la kutaka kumkamata leo ni ili alala ndani hadi kesho asubuhi.


Bunge limebariki ujinga huu bila kujali kinga na madaraka ya Bunge, pia bila kujali ibara ya 100 ya katiba kuhusu haki za Bunge.

CHANZO:JF 


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo